Featured

RAIS MADURO AONGEZA MAMLAKA.

 
 Rais Nicolas Maduro wa Venezuella.

Rais wa Venezuella, Nicolas Maduro, amesema yuko tayari kuongeza mamlaka yake chini ya utawala wa hali ya hatari iliyotangazwa wiki iliyopita
.
Hatua hiyo imefikiwa ili kukabiliana na waandamanaji wanaopinga serikali ya taifa hilo.

 Maduro amedai kuwa upinzani unachochea ghasia na pia kupanga njama ya kuipindua serikali yake. Amesema hatasita kuchukua hatua zinazofaa ili kudumisha amani nchini Venezuela, ambayo inakabiliwa na mzozo mkubwa wa kiuchumi.

Chanzo BBC.
BOFYA PICHA HAPA CHINI UONE PICHA ZA UCHI BONGO HASA USWAZI
DON'T FORGET TO LIKE THE PAGE IN ORDER TO GET NEWS UPDATES HAPPEN AROUND THE WORLD

Chapisha Maoni

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright Habari Na Burudani Published.. Blogger Templates
Back To Top