Mwezi Machi ndege nyingine ililazimishwa kuelekea Cyprus
Ndege moja ya
shirika la ndege la Misri la EgyptAir, iliyokuwa ikitoka mji mkuu wa
Ufaransa Paris hadi Cairo, imetoweka kutoka kwenye mitambo ya rada.
Maafisa wanaosimamia safari za ndege wanasema kuwa ndege hiyo aina ya Airbus A320, ilikuwa na abiria 56 na wahudumu kumi.
Shirika
hilo limesema kuwa ndege hiyo ilitoweka katika maeneo ya mashariki ya
bahari ya Mediterranean, kilomita 16 ndani ya anga ya Misri.
BOFYA PICHA HAPA CHINI UONE PICHA ZA UCHI BONGO HASA USWAZI
DON'T FORGET TO LIKE THE PAGE IN ORDER TO GET NEWS UPDATES HAPPEN AROUND THE WORLD
on Alhamisi, 19 Mei 2016
Chapisha Maoni