Featured

Kubwa kuliko katika Soka la Bongo.


Baada ya kurejea kwa Farid Musa kutokea Hispania alipokuwa anafanya majaribio katika klabu ya Deportive Tenerife ya Ligi daraja la kwanza Hispania (Segunda), kila mtanzania anatamani kujua nini kinaendelea kwa staa huyo wa Azam FC na Taifa Stars.


Mwanzoni taarifa zilisikika kuwa kafaulu majaribio lakini mazungumzo kati ya Azam FC na Tenerife hayajafikiwa C.E.O wa Azam FC Saad Kawemba katoa taarifa rasmi

“Ni kweli Farid amefuzu na kuna makubaliano tunafikia kwa ajili ya maslahi ya mchezaji, kwanza wanapaswa wampe muda sio akishindwa kufanya vizuri mechi moja wamuache hapana wanapaswa wampe muda”
BOFYA PICHA HAPA CHINI UONE PICHA ZA UCHI BONGO HASA USWAZI
DON'T FORGET TO LIKE THE PAGE IN ORDER TO GET NEWS UPDATES HAPPEN AROUND THE WORLD

Chapisha Maoni

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright Habari Na Burudani Published.. Blogger Templates
Back To Top