Haki miliki ya picha
Ikulu ya Tanzania
Rais John Pombe
Magufuli amemteua Luteni Jenerali Venance Mabeyo kuwa mkuu wa majeshi ya
Ulinzi nchini Tanzania akichukua mahala pake jenerali Davis Mwamunyange
aliyestaafu.
Taarifa kutoka ikulu iliotumwa katika vyombo vya habari inasema kuwa Luteni huyo sasa amepandishwa cheo na kuwa jenerali kamili.
Rais John Pombe
Magufuli amemteua Luteni Jenerali Venance Mabeyo kuwa mkuu wa majeshi ya
Ulinzi nchini Tanzania akichukua mahala pake jenerali Davis Mwamunyange
aliyestaafu.
Taarifa kutoka ikulu iliotumwa katika vyombo vya habari inasema kuwa Luteni huyo sasa amepandishwa cheo na kuwa jenerali kamili.
Chapisha Maoni