Featured

ULAYA TAFRANI VIRUSI VYA ZIKA.

Virusi vya Zika kuingia Ulaya

Virusi vya Zika
 
Virusi vya ugonjwa wa zika vinaweza kusambaa na kuingia Ulaya wakati wa majira ya kiangazi ,ijapokuwa uwezekano wa mlipuko wake uko chini kwa wastani, kulingana na shirika la afya duniani.

Maeneo ambayo yamo hatarini ni yale ambayo mbu aina ya Aedes huenda wakasambaza virusi hivyo ,kama vile pwani ya bahari nyeusi huko Urusi,Georgia na kisiwa cha Madeira.

WHO linayataka mataifa kuyaondoa maeneo yanayozalisha mbu na maeneo yake na kuhakikisha kuwa watu hususan waja wazito wana habari kuhusu athari za ugonjwa huo. 
 
Maafisa wa afya wakikabiliana na virusi vya Zika
Shirika hilo linasema kuwa mataifa mengi ambayo huenda yakaathiriwa yamejiandaa kukabiliana na visa vipya na kukabiliana navyo kwa haraka,lakini mataifa mengine yatalazimika kukabiliana na ugonjwa huo.

Chanzo bbc.
BOFYA PICHA HAPA CHINI UONE PICHA ZA UCHI BONGO HASA USWAZI
DON'T FORGET TO LIKE THE PAGE IN ORDER TO GET NEWS UPDATES HAPPEN AROUND THE WORLD

Chapisha Maoni

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright Habari Na Burudani Published.. Blogger Templates
Back To Top